Jumamosi, 2 Aprili 2016

KOCHA MKUU WA TAIFA STARS KUREJEA YANGA

Imechapishwa na Gazeti la Habari Leo

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwassa

Mkwasa kurudi Yanga

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Mkwasa ameitwa kuongeza nguvu katika benchi la ufundi la Yanga kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri wiki ijayo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Thank's