by Alchard_Kr
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD
Tafuta katika Blogu Hii
Jumamosi, 2 Aprili 2016
KOCHA MKUU WA TAIFA STARS KUREJEA YANGA
Imechapishwa na Gazeti la Habari Leo
Mkwasa kurudi Yanga
![]() | |
|
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Mkwasa ameitwa kuongeza nguvu katika benchi la ufundi la Yanga kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri wiki ijayo.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)

