by Alchard_Kr
Mabao ya Harry Kane na Dele Ali yalitosha kuiwezesha Tottenham kuongeza kasi na kuwakaribia kwa ukaribu Leicester ambao wali droo dhid ya West Ham, kwa ushindi huo Spurs wanafikisha alama 68 wakiwa wamecheza michezo 34 hiyo ambao zimebaki point kuwafikia Leicester.