Jumanne, 19 Aprili 2016

TOTTENHAM MBIOMBIO

by Alchard_Kr

TOTTENHAM WANAKIMBIZA MWIZI KIMYA KIMYA

Mabao ya Harry Kane na Dele Ali yalitosha kuiwezesha Tottenham kuongeza kasi na kuwakaribia kwa ukaribu Leicester ambao wali droo dhid ya West Ham, kwa ushindi huo Spurs wanafikisha alama 68 wakiwa wamecheza michezo 34 hiyo ambao zimebaki point kuwafikia Leicester.

Jumamosi, 16 Aprili 2016

MAGAZETI YA LEO, APRIL 17

by Alchard_Kr
MAGAZETI YA LEO APRILI 17







by Alchard_Kr

RC DAR ES SALAAM NA KOREA KUSINI WAWEKA JIWE LA MSINGI LA HOSPITALI YA CHANIKA MANISPAA YA ILALA



 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia) na Makamu wa Rais wa Shirika la Koica la nchini Korea Kusini, Taemyon Kwon, wakiweka tofali kwa pamoja kuashiria uweka wa jiwe la msingi la Hospitali ya Chanika iliyopo Manispaa ya Ilala, inayojengwa kwa ufadhili wa nchi hiyo Dar es Salaam jana. Ujenzi huo hadi kukamilika utagharimu sh. bilioni 8.8  za kitanzania.

Jumatatu, 4 Aprili 2016

Alchard_Kr ON MY TEAM SUPER EAGLE FC-TABORA

by Alchard_Kr

RAAN WA MIFANO

by Alchard_Kr

RAAN WA MIFANO NEW SONGS


Kwa wale ambao mlikuwa mlikuwa mkiuliza na kuzitafuta nyimbo za Mwana Hip Hop Chipkiz anae kuja kwa kasi katika tasnia hii ya music wa HIP HOP.   Download hapa.


Jumamosi, 2 Aprili 2016

NEW AUDIO - YAMOTO BAND_NIGANGE

by Alchard_Kr
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD

KOCHA MKUU WA TAIFA STARS KUREJEA YANGA

Imechapishwa na Gazeti la Habari Leo

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwassa

Mkwasa kurudi Yanga

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Mkwasa ameitwa kuongeza nguvu katika benchi la ufundi la Yanga kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri wiki ijayo.